Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Msichana wa kazi ( Hausigeli ) aliyechomwa Pasi na kuteswa kwa miaka mitatu na bosi wake akabidhiwa kwa wanaharakati

$
0
0
Hatimaye Yusta Lucas (20), binti aliyekuwa akiteswa kwa kuchomwa pasi na kung’atwa na mwajiri wake, Amina Maige ameruhusiwa kutoka Hospitali ya Mwananyamala alikokuwa amelazwa na kukabidhiwa kwa wanaharakati wa Taasisi ya Jipange.    Hatua hiyo ilifikiwa baada ya maridhiano kati ya Ustawi wa Jamii, mama mzazi wa Yusta, Modesta Simon, Kamati ya Ulinzi na Usalama Kata ya Makumbusho na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>