Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mapacha wa Miaka 6 wafa Maji wakiokoana

$
0
0
Watoto mapacha wenye umri wa miaka sita, wamekufa baada ya kutumbukia kwenye kisima cha maji wakati wakicheza.    Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Pwani, Ulrich Matei alisema watoto hao  walitumbukia kwenye kisima kilicho jirani na nyumbani kwao.  Kwa mujibu wa kamanda huyo, tukio hilo ni la juzi saa 10 jioni katika Kijiji cha Pipani – Kiwangwa, Kata ya Kiwangwa tarafa ya Msata wilaya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>