Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Vilio vyatawala katika Wodi aliyolazwa Housigeli ( Mfanyakazi wa ndani ) aliyechomwa Pasi na kuteswa kwa miaka mitatu na bosi wake

$
0
0
Kelele za vilio jana zilisimamisha kwa muda shughuli katika Wodi ya Wanawake ya Hospitali ya Mwananyamala, Dar es Salaam baada ya mama mzazi wa msichana, Yusta Lucas (20) anayedaiwa kuteswa kwa kung’atwa na kuchomwa kwa pasi mwili mzima kumwona mwanawe kwa mara ya kwanza.    Zilikuwa dakika 10 ngumu kwa mama huyo, Modesta Simon kuamini hali aliyomkuta mwanaye aliyelazwa hospitali hapo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>