Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wasichana waliotekwa nyara na kundi la Boko Haram waonekana Wakioga na kuwapikia wanamgambo hao.....Mabinti hao wamefichwa katika kambi tatu tofauti nje ya Nigeria

Mamia ya wasichana waliotekwa na kundi la Boko Haram nchini Nigeria wanadaiwa kuonekana wakioga na kuwapikia wanamgambo wa kundi hilo.    Aidha taarifa zinaeleza wengi wa wasichana hao wanashikiliwa  katika kambi tatu tofauti nje ya Nigeria.    Mmoja wa viongozi wanaohusika katika majadiliano ya kutaka wasichana hao waachiliwe huru,  Dk Steven Davis alikaririwa na Shirika la UtangazajiImage may be NSFW.
Clik here to view.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>