Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watu 6 wafariki katika ajali ya basi la Ndejela jijini Mbeya

$
0
0
Watu Sita wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa baada ya basi la Kampuni Ndejela Express lenye namba za usajili T 257 CMP aina ya TATA likiendeshwa na Dereva wa kike Vailet Mbinda(31) mkazi wa Sokomatola kugongwa kwa nyuma na roli la mizigo kisha kupinduka Kijiji cha Nanyala Kata ya Nanyala wilaya ya Mbozi Mkoani Mbeya. Ajali hiyo imetokea majira ya saa tisa alasiri barabara ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>