Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Matokeo ya Tuzo alizoshiriki Diamond kwenye MTV Africa Music Awards 2014 ni kama Ifuatavyo.....

$
0
0
Leo Diamond alikuwa anawania tuzo mbili lakini hajafanikiwa kushinda hata  moja  kati ya hizo....   Tuzo ya best collabo imechukuliwa na Uhuru ft DJ Bucks,Oskido,Professor,Yuri Da Cunha na wimbo wa Y-tjukutja.... Tuzo ya mwisho aliyokuwa anawania Diamond kwenye MTV MAMA 2014 ilikuwa ni Best Male Artist lakini imechukuliwa na Davido Lakini sio mbaya watanzania wamefanya kazi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>