Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Babu wa miaka 97 asaka mtoto...Alioa akiwa na miaka 94, mkewe ana miaka 83...Wafunga safari hadi Zambia kufanya tambiko

$
0
0
BABU aliyefunga ndoa mwaka 2011 akiwa na umri wa miaka 94, Mathias Kisokota mkazi wa Kitongoji cha Isunta, Namanyere wilayani Nkasi ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 97, amehamia na mkewe katika Mji wa Mpulungu mwambao wa Ziwa Tanganyika nchi jirani ya Zambia miezi sita iliyopita kwa lengo la kufanya tambiko la kumwezesha mkewe mwenye umri wa miaka 83 kupata mtoto wa uzeeni.   Mke wa mzee

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>