Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Machangudoa toka nchini Rwanda watiwa mbaroni mkoani Dodoma.....Mmoja wao ahukumiwa jela miaka miwili

$
0
0
Wanawake wanne raia wa Rwanda wametiwa mbaroni mjini Dodoma kutokana na kuingia nchini kinyemela na kujihusisha na biashara ya ukahaba.    Watuhumiwa  watatu kati ya hao, Saidat  Umotoni (28), Asha Abimana (25) na Asia Umotoni  Wase (30), hii ni mara yao ya pili kukamatwa mjini hapa wakidaiwa kujihusisha na biashara hiyo.    Mara ya kwanza ilikuwa Novemba mwaka jana ambapo wote  ( Asia,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>