Juzi simanzi ma majonzi vilitawala katika viwanja vya Leaders Club
wakati mamia ya watu walipokuwa wakiaga mwili wa muongozaji wa filamu na
vipindi vya televisheni, George Tyson aliyefariki katika ajali ya gari.
Moja kati ya matukio yaliyowatoa machozi mamia ya watu waliohudhuria
katika tukio la kumuaga Tyson, ni pale mtoto wake wa kike aitwae Sonia
alipokuwa akitoa neno/ujumbe
↧