Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Ugomvi wa baba na mama wasababisha kifo cha mtoto.

$
0
0
Polisi mkoani  Rukwa inamshikilia baba  mzazi  huku ikimsaka  mama wa mtoto mwenye umri wa mwezi mmoja, Denis Umera aliyefariki dunia kutokana na kilichodaiwa ni ugomvi wa wazazi hao uliotokana na wivu wa mapenzi.   Kamanda wa Polisi  Mkoa wa Rukwa, Jacob Mwaruanda alisema kifo hicho kilitokea  saa 11 alfajiri, Juni 2, mwaka huu kijijini Mlanda katika Wilaya ya Sumbawanga baada ya mama

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>