Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kijana aliyedaiwa kupotea kwa Imani za kishirikina mkoani Mara apatikana akiwa katika hali ya kutisha huku mwili wake ukiwa umejaa tope

$
0
0
Kijana mmoja mkazi wa kijiji cha Nyambogo wilayani Rorya mkoani Mara, ambaye anadaiwa kupotea nyumbani kwa imani za kishirikina hatimaye amepatikana huku akiwa katika hali ya kutisha bila kujitambua na mwili wake ukiwa umejaa tope jingi, tukio ambalo limevuta mamia ya wananchi wa kijiji hicho.    Kijana huyo Kenedy oguko mwenye umri wa miaka 22 amekutwa nje ya nyumba yao asubuhi ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles