Mwili wa Marehemu Adam Kuambiana ukiwekwa kwenye gari tayari kupelekwa Muhimbili kuhifadhiwa.
Hospitali ya Mama Ngoma iliyopo Mwenge jijini Dar es Salaam alikofia Msanii Kuambiana.
Msanii aliekuwa akicheza
filamu moja na marehemu katika Hoteli ya Silver Rado iliyopo Sinza kwa
Remy, Dar akilia kwa uchungu nje ya Hospitali ya Mama Ngoma leo mchana
huu.
Wasanii Q Chilla na
↧