NA MOHAMMED ISSA, Gazeti la UHURU
KATIBU wa
Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye,
amesema kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ni kundi hatari
linaloeneza chuki na kusambaza uongo kwa wananchi.
Amelifananisha
kundi hilo na Boko Haramu na kwamba tofauti yake ni kwamba UKAWA
linatumia silaha ya kusambaza chuki, fitina kwa lengo la kuwagawa
↧