WANANDOA wawili wameuawa kinyama baada ya mtu mmoja aliyefahamika kwa
jina la Yusuf Njau (32), anayeaminika kuwa ni mtoto wa
wanandoa hao, kuwacharanga kwa shoka kisha kuchoma moto nyumba
yao na kutokomea kusiko julikana.
Tukio hilo la kusikitisha na la aina yake limetokea juzi majira ya saa
12:30 jioni katika kijiji cha Masama-Roo, Kata ya Machame
Mashariki,wilaya ya Hai,
↧