Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kijana Aua Wazazi Wake Wawili na Kuchoma Moto nyumba yao Mkoani Kilimanjaro

$
0
0
WANANDOA wawili wameuawa kinyama baada ya mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Yusuf Njau (32),  anayeaminika kuwa ni mtoto wa wanandoa hao, kuwacharanga kwa shoka kisha kuchoma moto nyumba  yao na kutokomea kusiko julikana.    Tukio hilo la kusikitisha na la aina yake limetokea juzi majira ya saa 12:30 jioni katika kijiji cha Masama-Roo,  Kata ya Machame Mashariki,wilaya ya Hai,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles