SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anne Makinda amesema ni marufuku kwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kufanya shughuli zake ndani ya Bunge la Bajeti.
Alisema hayo juzi bungeni baada ya
Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni Freeman Mbowe kutangaza baraza
kivuli la mawaziri na kusema hicho ndiko kikosi cha ukawa ndani ya
Bunge.
Spika Makinda alimtaka Mbowe
↧