Hatimaye Nay wa Mitego amezungumzia scandal iliyokuwa ikimhusu
mchumba wake aitwaye Siwema ambaye mwezi uliopita ilisambaa video na
picha kwenye mtandao wa Instagram inayomuonesha akivishwa pete na
pedeshee.
Maelezo kuhusu video/picha hizi yalisema:
“Siwema demu wa Nay Wa Mitego amevalishwa pete ya uchumba na
jibaba ( pedeshee ) linalomuweka mjini na ndilo lililomnunulia magari
↧