Ugonjwa wa kuvuja kwa nyimbo ambazo hazijakamilika au muda wake wa
kutoka haujafika umemkuta tena mshindi wa tuzo saba za KTMA, Diamond
Platnumz. Wimbo huo uliopewa jina la ‘Kitorondo’ umesambaa jana katika
baadhi ya mitandao ya kijamii.
Platnumz ametoa kauli kuhusiana na wimbo huo:
“Moja ya nyimbo zangu ambazo ziko store hazija toka nimeikuta
mtandaoni na sijui imefikaje, tena ikiwa
↧