Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Jackline Wolper: Wanaosema Kifo Cha Kanumba Kimeshusha Soko La Filamu Ni Waongo.

$
0
0
Muigizaji wa filamu mwenye jina kubwa nchini Jackline Wolper amesema kuwa watu wanaosema kuwa soko la filamu nchini limeshuka baada ya Kanumba kufariki ni waongo kwasababu kila mtu ana mashabiki wake na Kanumba hakuwa ameliteka soko peke yake.  Akizungumza katika The Sporah Show,Wolper alisema kuwa wanaosema hivyo itakuwa ni mashabiki wa Kanumba ndiyo maana baada ya kufariki

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles