Muigizaji
wa filamu mwenye jina kubwa nchini Jackline Wolper amesema kuwa watu
wanaosema kuwa soko la filamu nchini limeshuka baada ya Kanumba kufariki
ni waongo kwasababu kila mtu ana mashabiki wake na Kanumba hakuwa
ameliteka soko peke yake.
Akizungumza katika The
Sporah Show,Wolper alisema kuwa wanaosema hivyo itakuwa ni
mashabiki wa Kanumba ndiyo maana baada ya kufariki
↧