Msanii wa filamu Dr Cheni ameruhusiwa jana kutoka katika hospitali ya
Buruhani jijini Dar es Salaam alipokuwa amelazwa kutokana kuugua na
ugonjwa wa Dengeu.
Kupitia Instagram jana ameandika: Asanteni sana ndugu marafiki
washabiki kwa dua zenu leo nimeruhusiwa sina cha kuwalipa, mungu
atawalipa kwa sala (maombi) yenu amin”
Dr Cheni alilazwa May 6, mwaka huu baada ya kuugua na
↧