Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Dr Cheni aruhusiwa baada ya kulazwa kwa ugojwa wa Dengeu

$
0
0
Msanii wa filamu Dr Cheni ameruhusiwa jana  kutoka katika hospitali ya Buruhani jijini Dar es Salaam alipokuwa amelazwa kutokana kuugua na ugonjwa wa Dengeu. Kupitia Instagram  jana ameandika: Asanteni sana ndugu marafiki washabiki kwa dua zenu leo nimeruhusiwa sina cha kuwalipa, mungu atawalipa kwa sala (maombi) yenu amin”   Dr Cheni alilazwa May 6, mwaka huu baada ya kuugua na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>