CHUO
cha mafunzo ya taaluma ya Jeshi la polisi Moshi (MPA), kimewafukuzisha
mafunzo jumla ya wanafunzi wa uaskari 212, kutokana na sababu za
kughushi vyeti vya elimu ya sekondari..
Hayo
yamesemwa leo na Mkuu wa Taaluma na Utumishi wa jeshi la Polisi,
Kamishna wa Polisi Thobias Andengenye katika kikao na waandishi wa
habari kilichofanyika kwenye ukumbi wa chuo cha mafunzo ya taluma ya
↧