Kambi rasmi ya upinzani imetangaza baraza la mawazili kivuli katika
wizara 29 ambao wanashika hatamu za uongozi kwa kipindi kilichobakia
kabla ya uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwakani.
Akitangaza rasmi Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni Freeman
Mbowe amewataka viongozi walio teuliwa kutumikia vilivyo nafasi zao kwa
maendeleo ya watanzania
Walioteuliwa ni
↧