Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akijibu maswali ya wabunge wakati alipohitimisha
hoja ya Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu, bungeni mjini Dodoma Mei 9,
2014.
Spika
wa Bunge Mhe.Anna Makinda akiwa anaendesha kikao cha Bunge leo wakati wa
majadiliano ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu na TAMISEMI.
Wabunge wakifuatilia mjadala ndani ya Bunge.
Spika
wa zamani ambaye pia ni
↧