Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Dereva wa basi la Summry aliyesababisha vifo ya watu 19 mkoani Singida AKAMATWA....Tundu Lissu aahidi kutoa msaada wa Kisheria

$
0
0
JESHI la Polisi mkoa wa Singida limefanikiwa kumkamata dereva wa basi la Summry T.799 BET, Paul Njilo mkazi wa jijini Dar-es-salaam aliyegonga askari polisi wanne na wananchi 15 na kusababisha vifo vyao.   Ajali hilo ilitokea Aprili 28 saa 2.45 usiku katika babara kuu ya Singida-Dodoma eneo la kijiji cha Utaho tarafa ya Ihanja wilaya ya Ikungi mkoani Singida.   Kamanda wa Jeshi la

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>