Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Vyuo vitano vyabainika kutoa mikopo hewa kwa wanafunzi....Wanafunzi hao ni wale walio feli na wengine kuahirisha masomo

$
0
0
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), amebaini kuwapo kwa wanafunzi wanaopatiwa mikopo katika vyuo vitano nchini licha ya kufeli au kuahirisha masomo yao. Kwa mujibu wa taarifa ya CAG ya ukaguzi wa Mashirika ya Umma kwa mwaka wa fedha 2012/13, mikopo ya kiasi cha Sh. milioni 201.5 ilitolewa kwa wanafunzi hao. Taarifa hiyo imevitaja baadhi ya vyuo na kiasi cha fedha

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>