Mwanaume mmoja Mtanzania amekamwata katika uwanja wa kimataifa wa
Jomo Kenyatta Nairobi Kenya akiwa amebeba dawa za kulevya akiwa njiani
kuelekea Antananarivo ambapo mzigo huo ulitokea Tanga kisha ukapita
Mombasa na baadae kwa ndege mpaka Nairobi.
Mzigo wenyewe ni wa cocaine na Heroin ambazo zote zina thamani ya
zaidi ya shilingi milioni 24 za Kitanzania na dawa hizo alikua
↧