Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Upinzani watoa masharti magumu kushiriki Uchaguzi Mkuu 2015....Wasema hawezi kushiriki uchaguzi huo bila ya mgombea binafsi au matokeo ya Rais kupingwa mahakamani

$
0
0
Serikali imetakiwa kuandaa taratibu za mpito za kushughulikia Uchaguzi Mkuu ujao ili kunusuru nchi kuingia katika mtanziko unaoweza kuwa chanzo cha machafuko ya kisiasa, endapo utafanyika bila kupatikana kwa Katiba Mpya la sivyo Kambi Rasmi ya  upinzani  haitashiriki.    Hayo yalielezwa jana na Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe alipokuwa akitoa hotuba ya kambi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>