Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mtoto afariki dunia baada ya kunajisiwa mkoani Geita....Mtuhumiwa alisema lazima awabake wote watatu akiwamo mtoto huyo ili awaambukize Virusi Vya Ukimwi.

$
0
0
Mwanafunzi wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Kalangalala, mjini Geita, amefariki dunia baada ya kunajisiwa na mtu asiyejulikana nyumbani kwao, usiku wa kuamkia juzi.   Tukio hilo ni mwendelezo wa vitendo vya ukatili, mateso na udhalilishaji dhidi ya watoto ulio kinyume na Sheria ya Mtoto ya Mwaka 2009, inayoeleza kwamba mtoto anapaswa kulindwa na kuthaminiwa.   Kamanda wa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>