Mtangazaji mahili wa show za TV/Radio aliyeisimamisha wima show mpya na kali inayorushwa kupitia channel 5 ‘Mkasi’
namzungumzia Salama Jabir ametupia ‘neno’ kupitia kipindi hicho kuwa huenda siku
moja akaolewa na AY!
Kama uliiangalia show ya Mkasi jumatatu ama marudio yake leo
(jumamosi) ambapo crew nzima ya kipindi cha mkasi chini ya C.E.O na Producer wa
show Ambwene Yesaya ‘AY’
↧