Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

NDOA YA PREZZO ILIVUNJIKA KUTOKANA NA UMALAYA WAKE NA MATUMIZI YA MADAWA YA KULEVYA...... KAZI KWAKO DIVA

$
0
0
Siku za hivi karibuni rapper mwenye asili ya Kenya na Tanzania Prezzo alitweet kuwa anaenda mahakamani huko Kenya lakini hakuweka wazi alikuwa anakabiliwa na kesi gani. Yawezekana ukawa unashangaa kusikia story kila kukicha juu ya king wa bling ana date na warembo wengi kwa wakati mmoja, mara Goldie (marehemu), mara Huddah, mara Diva, na jana tumesikia ameonekana akikiss na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles