Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Sudani Kusini kujua hatima ya ombi lake la kujiunga na jumuiya ya Afrika Mashariki leo

$
0
0
Mkutano wa kumi na mbili wa viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki unaaanza rasmi hii leo mjini Arusha nchini Tanzania.   Miongoni mwa maswala muhimu yatakayojadiliwa  ni  ombi la Sudan Kusini kutaka kujiunga na jumuiya hiyo.   Mkutano wa mwisho kama huu uliofanyika mjini Kampala Uganda mwezi Novemba mwaka jana, uliweka bayana kwamba ni katika mkutano huu wa Arusha, ambapo tarehe ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>