Mkutano wa kumi na mbili wa viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki unaaanza rasmi hii leo mjini Arusha nchini Tanzania.
Miongoni mwa maswala muhimu yatakayojadiliwa ni ombi la Sudan Kusini kutaka kujiunga na jumuiya hiyo.
Mkutano wa mwisho kama huu uliofanyika
mjini Kampala Uganda mwezi Novemba mwaka jana, uliweka bayana kwamba ni
katika mkutano huu wa Arusha, ambapo tarehe ya
↧