Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mgomo wa wafanyakazi wa kampuni ya ujenzi wa barabara ya magari yaendayo kasi ‘STRABAG’ waingia siku ya tatu leo....

$
0
0
  Hali  bado si shwari katika kampuni ya ujenzi wa barabara ya magari yaendayo kasi ‘STRABAG’ iliyopo maeneo ya Ubungo jijini Dar, ambapo asubuhi hii Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) wametanda eneo la ofisi hizo na hakuna mfanyakazi yeyote wa kawaida anayeruhusiwa kuingia ndani.   Mgomo huo ulioanza Jumatatu, Aprili 28 mwaka huu leo ulikuwa unaingia siku ya tatu ambapo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>