Hali bado
si shwari katika kampuni ya ujenzi wa barabara ya magari yaendayo kasi
‘STRABAG’ iliyopo maeneo ya Ubungo jijini Dar, ambapo asubuhi hii Askari
wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) wametanda eneo la ofisi hizo na
hakuna mfanyakazi yeyote wa kawaida anayeruhusiwa kuingia ndani.
Mgomo huo
ulioanza Jumatatu, Aprili 28 mwaka huu leo ulikuwa unaingia siku ya tatu
ambapo
↧