Jeshi la Polisi limepata pigo kutokana na askari wake wawili kuuawa kwa
kupigwa risasi na majambazi...
Askari wawili wa jeshi hilo waliuawa kwa kupigwa risasi na majambazi katika Tarafa ya Usoke wilayani Urambo mkoani Tabora.
Kamanda wa Polisi wa mkoa huo, Suzan Kaganda, alisema jana kuwa tukio
hilo lilitokea juzi saa 2:30 usiku katika kijiji cha Usoke.
Kamanda Kaganda aliwataja
↧