MREMBO Mwanaisha Kiboye, mkazi wa Ilala, Dar anayedaiwa kupigwa na
mwanamuziki wa Kizazi Kipya Bongo, Rashid Makwilo ‘Chid Benz’, hali
imekuwa mbaya kwani yu mahututi.
Juzi Jumatatu, wakati staa huyo akipandishwa kizimbani katika
Mahakama ya Wilaya ya Ilala, Dar kwa kesi hiyo, Mwanaisha alikuwa
akipumua kwa tabu kwenye chumba maalum katika Hospitali iitwayo Aviation
iliyopo maeneo
↧