Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Lundenga akiri kuwepo wasichana wanaotoa rushwa ya ngono kupata taji la Miss Tanzania

$
0
0
Mkurugenzi wa Kampuni ya Lino International Agency, ambao ni waandaji wa Miss Tanzania, Hashim Lundenga amedai kuwa wasichana wengi wanaoingia kwenye mashindano ya Miss Tanzania hufanya mbinu za kuwalaghai baadhi ya watu kwenye kamati kwa kuwapa rushwa ya ngono ili washinde taji la miss Tanzania. Akizungumza na Global TV, Lundenga amedai kuwa kuna wasichana wanaoingia kwenye

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>