Mkurugenzi wa Kampuni ya Lino International Agency, ambao ni waandaji
wa Miss Tanzania, Hashim Lundenga amedai kuwa wasichana wengi
wanaoingia kwenye mashindano ya Miss Tanzania hufanya mbinu za
kuwalaghai baadhi ya watu kwenye kamati kwa kuwapa rushwa ya ngono ili
washinde taji la miss Tanzania.
Akizungumza na Global TV, Lundenga amedai kuwa kuna wasichana wanaoingia kwenye
↧