Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel inayoongoza kwa kutoa huduma
bora imezindua huduma ya kibunifu itakayowawezesha wateja wake kupata na
kuunganishwa kwenye mitandao ya kijamii ya Facebook, Whatsapp na
twitter BURE kupitia huduma ya Airtel yatosha.
Akiongelea kuhusu huduma hiyo Mkuu wa kitengo cha mawasiliano wa
Airtel Bi Beatrice Singano Mallya alisema” sasa ni bure kabisa kwa
↧