Baadhi ya miili ya wakazi wa
kijiji cha Utaho wilaya ya Ikungi, waliogongwa na basi la Summry ikiwa
katika chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali ya mkoa wa Singida
mjini humo.
************
ASKARI Polisi wanne wa
kituo cha Polisi Singida mjini na wakazi 15 wa kijiji cha Utaho tarafa
ya Ihanja wilaya ya Ikungi mkoani Singida,wamefariki dunia baada ya
kugongwa na basi la kampuni ya
↧