Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Picha za ajali ya basi la Sumry: Waliofariki dunia ni watu 19 wakiwemo askari wanne wa jeshi la polisi.

$
0
0
 Baadhi ya miili ya wakazi wa kijiji cha Utaho wilaya ya Ikungi, waliogongwa na basi la Summry ikiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali ya mkoa wa Singida mjini humo. ************ ASKARI Polisi wanne wa kituo cha Polisi Singida mjini na wakazi 15 wa kijiji cha Utaho tarafa ya Ihanja wilaya ya Ikungi mkoani Singida,wamefariki dunia baada ya kugongwa na basi la kampuni ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>