Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Husna Iddi Kisoma, mkazi wa mkoa wa Pwani atiwa mbaroni na jeshi la polisi kwa tuhuma za kuzinyofoa sehemu za siri za mumewe katika ugomvi wa wivu wa mapenzi

$
0
0
Jeshi la polisi mkoa wa Pwani linamshikilia Husna Iddi Kisoma (19) , mkazi wa Kisemvule Mkuranga mkoa wa Pwani kwa tuhuma za kumuua mumewe Jumane Mwalami (21) baada ya kumvuta sehemu za siri na kuzinyofoa kutokana na ugomvi uliosababishwa na wivu wa mapenzi.    Akizungumza na kipindi cha Maskani cha 100.5 Times Fm, kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani, Ulrich Matei ameeleza kuwa tukio hilo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>