Jeshi la polisi mkoa wa Pwani linamshikilia Husna Iddi Kisoma (19) ,
mkazi wa Kisemvule Mkuranga mkoa wa Pwani kwa tuhuma za kumuua mumewe
Jumane Mwalami (21) baada ya kumvuta sehemu za siri na kuzinyofoa
kutokana na ugomvi uliosababishwa na wivu wa mapenzi.
Akizungumza na kipindi cha Maskani cha 100.5 Times Fm, kamanda wa
Polisi mkoa wa Pwani, Ulrich Matei ameeleza kuwa tukio hilo
↧