Basi la Kampuni ya
Hood, lililokuwa likitokea Mbeya kwenda Arusha limeteketea kwa moto jana
jioni eneo la Wami, Pwani. Hakuna majeruhi wala mtu yeyote aliyepoteza maisha
katika ajali hiyo.
<!-- adsense -->Image may be NSFW.
Clik here to view.
Clik here to view.
