Simanzi na vilio jana vilitawala katika Mtaa wa Kijitonyama
Mpakani A, baada ya watoto watatu wa familia jirani kufariki dunia baada
ya kuzama katika bwawa la kuogelea walipokuwa wakisherehekea siku ya
kuzaliwa mtoto mwenzao aliyetimiza mwaka mmoja.
Tukio hilo lilitokea juzi jioni katika Hoteli ya Landmark, Kunduchi Beach Dar es Salaam.
Waliofariki katika ajali hiyo ni Ndimbumi
↧