Jeshi la
Polisi Mkoani Mbeya limewafukuza kazi Askari 6 wa kikosi cha Usalama
barabarani Wilaya za Rungwe na
Mbeya kwa tuhuma za kuomba,kushawishi na kupokea rushwa.
Kamanda wa
Polisi Mkoani Mbeya Ahmed Msangi amewatataja Askari hao kuwa
ni pamoja na waliokuwa wakifanya kazi wilaya ya Mbeya barabara ya Mbeya/Tunduma
eneo la Songwe ambao ni Copro Jonson,PC Rymond na PC Simon.
Msangi
↧