Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Askari 6 wa kikosi cha usalama barabarani ( Trafiki) wafukuzwa kazi kwa tuhuma za kuomba,kushawishi na kupokea rushwa

$
0
0
Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya limewafukuza kazi Askari 6 wa kikosi cha Usalama barabarani  Wilaya za Rungwe na Mbeya kwa tuhuma za kuomba,kushawishi na kupokea rushwa. Kamanda wa Polisi  Mkoani Mbeya  Ahmed Msangi amewatataja Askari hao kuwa ni pamoja na waliokuwa wakifanya kazi wilaya ya Mbeya barabara ya Mbeya/Tunduma eneo la Songwe  ambao ni Copro Jonson,PC Rymond na PC Simon. Msangi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>