Baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani wametoa sababu
zilizowafanya wasihudhurie sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Katika sherehe hizo zilizofanyika Jumamosi katika
Uwanja wa Uhuru, viongozi wa vyama vikuu vya upinzani, Chadema, CUF na
NCCR-Mageuzi hawakuonekana.
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa alisema
kutokuonekana kwao
↧