Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wapinzani watoa sababu za kususa na kutoshiriki sherehe za miaka 50 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar

$
0
0
Baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani wametoa sababu zilizowafanya wasihudhurie sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.    Katika sherehe hizo zilizofanyika Jumamosi katika Uwanja wa Uhuru, viongozi wa vyama vikuu vya upinzani, Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi hawakuonekana.   Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa alisema kutokuonekana kwao

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>