Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wizi wa milioni 500 Benki ya Barclays: Mameneja wa benki hiyo watiwa mbaroni.....Uchunguzi wabaini kuwa tukio hilo lilipangwa na robo tatu ya fedha iliibiwa siku moja kabla ya tukio

$
0
0
Hatimaye Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limetoa taarifa ya wizi uliotokea katika Benki ya Barclays, Tawi la Kinondoni Aprili 15, mwaka huu, likisema tukio hilo lilipangwa ndani ya benki hiyo.    Katika taarifa yake jana, Kamanda wa Kanda hiyo, Suleiman Kova alisema watu 13 akiwamo meneja wa tawi hilo na meneja wake wa uendeshaji wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>