Hatimaye Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limetoa
taarifa ya wizi uliotokea katika Benki ya Barclays, Tawi la Kinondoni
Aprili 15, mwaka huu, likisema tukio hilo lilipangwa ndani ya benki
hiyo.
Katika taarifa yake jana, Kamanda wa Kanda hiyo,
Suleiman Kova alisema watu 13 akiwamo meneja wa tawi hilo na meneja wake
wa uendeshaji wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za
↧