Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2014 kuahirishwa....“Nikiri nafasi ni finyu sana ila tutalizungumza serikalini,” asema Rais Kikwete

$
0
0
UCHAGUZI wa serikali za mitaa, ambao hufanyika mwaka mmoja kabla ya uchaguzi mkuu, huenda usifanyike mwaka huu, imeelezwa. Hatua hiyo inatokana na uchaguzi huo kuingiliana na masuala ya kupata Katiba mpya, ambayo mchakato wake bado unaendelea.   “Nikiri nafasi ni finyu sana ila tutalizungumza serikalini,” alisema Rais Jakaya Kikwete, alipozungumza na baadhi ya wahariri Ikulu mjini Dar

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>