Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Stephen Wasira afunguka....Asema hashangazwi na kitendo cha kutoka nje ya bunge wajumbe wa UKAWA kwani, ni matukio yaliyopangwa muda.

$
0
0
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu), Stephen Wasira, amesema hakushangazwa na kitendo cha kutoka nje ya bunge wajumbe wa UKAWA kwani, ni matukio yaliyopangwa muda. Wasira alisema UKAWA walikuwa na mpango huo muda mrefu baada ya kuona hoja yao kuhusu kutokuwepo kwa hati ya muungano kukosa ukweli. Akizungumza na waandishi wa habari jana, Wasira alisema sababu

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles