Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Hati ya Makubaliano ya Muungano yawasilishwa Bungeni.

$
0
0
Makamu mwenyekiti wa bunge maalum la katiba, Samia Suluhu Hassan amesema amepokea hati ya makubaliano ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar iliyothibitishwa kisheria.   Hati hiyo imefikishwa bungeni hapo baada ya mjumbe wa bunge hilo, Tundu Lissu kuomba hati hiyo ioneshwe hadharani siku mbili zilizopita.   Waziri wa nchi ofisi ya rais, Stephen Wasirra alieleza kuwa ametimiza

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>