April
16 2014 saa saba kasoro mchana makamu mwenyekiti wa bunge la katiba
hapa Dodoma aliwasha kipaza sauti na kuzungumza kuhusu matangazo mawili
yaliyomfikia, moja la wageni na la pili ni la hati ya muungano ambayo
hatimae imepelekwa bungeni baada ya kuzungumziwa sana na Wajumbe
mbalimbali hasa wanaotaka uwepo wa serikali tatu waliosema hati hiyo
haipo.
Makamu Mwenyekiti alisema ‘
↧