Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mr Nice apata ajali akiwa kwenye Bajaji ....Abiria mwenzake afariki dunia papo hapo

$
0
0
  Msanii mkongwe Mr Nice amepata ajali juzi  ndani ya bajaji akiwa na abiria mwenzake  jijini  Dar.  Ajali hiyo ilitokea  baada  ya  gari  moja  "kuwachomekea ", hali  iliyomfanya dereva wa Bajaji hiyo kuikwepesha na kugonga mti.    Hali ya Mr Nice sio nzuri sana,kwani amevimba kichwa na kuumia sana sehemu za usoni na abiria mwenzake ambaye hajafahamika jina alifariki papo hapo <!--

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>