Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Bomu lajeruhi watu 15 mkoani Arusha waliokuwa kwenye baa moja iitwayo Arusha Night Park wakitazama mpira

$
0
0
Watu 15 wamejeruhiwa kutokana na mlipuko wa bomu katika baa maarufu ya Arusha Night Park katika eneo la Mianzini katika jiji la Arusha.   Tukio hilo lilitokea jana saa mbili usiku wakati mamia ya watu wakiwa katika baa hiyo wakiangalia  mechi ya soka ya Ligi Kuu ya England kati ya Chelsea na Swansea. Chelsea ilishinda 1-0.   Mmoja wa wamiliki wa baa hiyo, Angelo Mwoleka pia

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>