Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Alex Msama anaendelea vizuri na matibabu baada ya kupata ajali mkoani Dodoma

$
0
0
Mkurugenzi wa kampuni ya Msama Promotion ya jijini Dares salaam inayoandaa matamasha ya Pasaka na Krismwass Bw. Alex Msama anaendelea vizuri baada ya kupata ajali mkoani Dodoma kisha kupelekwa katika hospitali ya mkoa wa Dodoma na baadaye kuhamishiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili katika wodi Kibasila namba 16.     Msama  anaendelea vizuri na matibabu na amesema hali yake

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles