Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Picha kutoka Bunge la katiba mjini Dodoma leo

$
0
0
Mwenyekiti wa Kamati namba 1,Mh. Ummy Ally Mwalimu akiwasilisha mapendekezo ya kamati yake leo wakati wa muendelezo wa vikao vya Bunge la Katiba vinavyoendelea mjini Dodoma. Baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wakiwa wamesimama kwa nyakati tofauti tofauti wakimkatiza Mwenyekiti wa Kamati namba 1,Mh. Ummy Mwalimu wakimtaka Mwenyekiti wa Bunge amtake Ummy Mwalim kusoma

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>